27 Juni 2022
Pakua
Hii leo jaridani, Anold Kayanda anaanzia Ureno kwenye mkutano kuhusu bahari ambako Umoja wa Mataifa unasema kama taka za plastiki hazidhibitiwi, basi taka hizo zitakuwa nyingi kuliko samaki ifikapo mwaka 2050. Kisha anasalia huko huko kwake Nancy Iraba mwanasayansi wa masuala ya bahari kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam nchini Tanzania akizungumzia vijana na ubunifu katika kulinda bahari. Makala anakwenda Kenya kusikia mnufaika wa kilimo cha mwani. Na mashinani anasalia Ureno.
Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
10'31"