Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanajamii tulindane wakati wa sikukuu na hasa ulinzi kwa watoto - Mwanaharakati wa haki za wanawake Uganda

Wanajamii tulindane wakati wa sikukuu na hasa ulinzi kwa watoto - Mwanaharakati wa haki za wanawake Uganda

Pakua

Katika shamrashamra za siku kuu watoto huwa hatarini kwa namna mbalimbali. Bi. Monica Kabakwonga, mwanaharakati wa haki za wanawake na pia mwenyekiti wa kikundi cha Tukorre Hamo Women’s Group cha nchini Uganda anawachagiza wazazi kuimarisha ulinzi wa watoto dhidi ya mabaya yote ukiwemo ugonjwa wa Covid-19.  Pata maelezo zaidi kwa kusikiliza makala ifuatayo ambapo mwandishi wetu John Kibego anazungumza na mwanaharakati huyo.

Audio Credit
Anold Kayanda/John Kibego
Sauti
3'9"
Photo Credit
UN News