Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

06 Disemba 2021

06 Disemba 2021

Pakua

Karibu kusikiliza jarida ambapo kuelekea siku ya haki za binadamu ambayo huadhimishwa kila tarehe 10 ya mwezi wa 12, tunakuletea vipindi mbalimbali vinavyoeleza umuhimu wa kutekeleza haki za binadamu. Leo tunaangazia haki ya kuishi na kutokubaguliwa ya watu wenye ulemavu.

Assumpta Massoi anatupeleka nchini Tanzania katika mkoa wa Mwanza ulioko kandokando mwa Ziwa Victoria, kaskazini magharibi mwa nchi kuona juhudi zinazofanywa na jamii kupambana na imani potofu zinazosababisha watu wenye ualbino kuishi kwa mashaka.

 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
10'33"