Mhandisi kutoka Tanzaniani miongoni mwa wanawake wachache NASA
Pakua
Nafasi ya mwanamke katika masuala ya sayansi, teknolojia , uhandisi na Hisabati (STEM) tukimmulika Dkt. Alinda Mashiku mhandisi katika kituo chasafari za anga cha NASA tawi la Goddard Maryland nchini Marekani, pia ni meneja anayeongoza jopo la wanaume kuhakikisha safari za satélite haziendi kombo angani. Flora Nducha amezungumza naye kupata ufafanuzi zaidi wa kazi yake na safari yake hadi kufika NASA.
Audio Credit
Flora Nducha/Dr.Alinda Mashiku
Audio Duration
13'39"