Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke

Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke

Pakua

Katika kujifunza Kiswahili leo tunapata ufafanuzi wa methali, "Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke." na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.

Audio Credit
Josephat Gitonga
Audio Duration
56"
Photo Credit
UN