18 Mei 2021
Pakua
UNHCR yaomba raia wa Msumbiji wanaokimbia vurugu wapewe hifadhi nchini Tanzania.
Bado tunawasaka wanakijiji waliokimbilia msituni baada ya kuvamiwa Bahr Ole Payam, imesema UNMISS.
Na mkimbizi Marie-Reine asema programu ya rafiki imenipa ujasiri niliohitaji kuanza maisha mapya Ubelgiji.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'40"