Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

18 Mei 2021

18 Mei 2021

Pakua

UNHCR yaomba raia wa Msumbiji wanaokimbia vurugu wapewe hifadhi nchini Tanzania.

Bado tunawasaka wanakijiji  waliokimbilia msituni baada ya kuvamiwa Bahr Ole Payam, imesema UNMISS.

Na mkimbizi Marie-Reine asema programu ya rafiki imenipa ujasiri niliohitaji kuanza maisha mapya Ubelgiji.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'40"