Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

31 Machi 2021

31 Machi 2021

Pakua

Hali ni tete Cabo Delgado, mashirika ya UN yahaha kunususu raia. Huduma kwa wajawazito Libya zinazowezeshwa na UNHCR mkombozi wa wakimbizi wa Eritrea. Nchini Kenya kampeni ya kulinda wanyamapori nayoongozwa na shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa, UNEP imezidi kupanua wigo wake ambapo hivi sasa hata watu ambao awali walikuwa adui wa wanyamapori, wamegeuka rafiki na walinzi wakuu wa wanyama hao kama njia mojawapo ya kuhifadhi misitu kama ile ya mlima  Kenya.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'7"