Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

30 Machi 2021

30 Machi 2021

Pakua

UNICEF yawezesha mtoto mkimbizi kuwa na ndoto ya kuwa daktari.  Msaada wa IFAD umeniokoa mimi na familia yangu, asema Mjasiriamali Fatou Secan wa Gambia. Na mkimbizi kutoka Syria aeleza namna Ovale Citoyen ya Ufaransa wamemrudisha michezoni. 

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
11'43"