30 Machi 2021 30 Machi 2021 Jarida la Habari Pakua UNICEF yawezesha mtoto mkimbizi kuwa na ndoto ya kuwa daktari. Msaada wa IFAD umeniokoa mimi na familia yangu, asema Mjasiriamali Fatou Secan wa Gambia. Na mkimbizi kutoka Syria aeleza namna Ovale Citoyen ya Ufaransa wamemrudisha michezoni. Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 11'43"