29 Machi 2021
Pakua
Kikosi cha 13, TANZBATT-13, cha wanajeshi wa Tanzania wanaolinda amani jimboni Darfur nchini Sudan kupitia UNAMID ambao ni ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Africa, AU, kimetamatisha jukumu lao na leo tunamulika tathmini yao wenyewe kama anavyosimulia Koplo Japhet Chakula, afisa habari wa TANZBATT-13.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
10'10"