Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanaharakati wa hisibati, kulikoni?

Mwanaharakati wa hisibati, kulikoni?

Pakua

Dunia inakuwa mahali bora pa kuishi ikiwa kila mtu atachangia katika kutaka hali hiyo itokee. Kutana na Yusuf Adamu Ibrahim, mwanaharakati mchanga wa hisabati kutoka jimbo la Bauchi, Nigeria ambaye anabadilisha maisha ya watoto wa shule katika jamii yake kwa kuwasaidia kuboresha ujuzi wao wa hesabu. Yusuf ni hamasa kwa wengi, na ni kijana mdogo wa umri wa miaka 18 mpenda mabadiliko.

Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
2'21"
Photo Credit
© UNICEF/Tanya Bindra