Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uvuvi uko njiapanda licha ya umuhimu wake katika kukabiliana na umasikini-FAO

Uvuvi uko njiapanda licha ya umuhimu wake katika kukabiliana na umasikini-FAO

Pakua

Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO linasema uvuvi uko njiapanda hususani katika nchi maskini ingawa ni wazi kuwa samaki ni muhimu katika kupambana na umaskini.

Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
1'59"
Photo Credit
UN/Logan Abassi