Kumhoji Rais alikuwa anatumwa mwandishi mwanaume badala ya mwanamke-Bi.Mongela
Pakua
Bi Getrude Mongela kupitia katika mahojiano yaliyofanywa na Stella Vuzo wa Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Tanzania, mwanamke huyo aliyekuwa Katibu Mkuu wa mkutano wa 4 wa wanawake uliofanyika Beijing miaka 25 iliyopita, anaeleza mafanikio ambayo yamefikiwa katika kumpa nafasi mwanamke, akianza na mfano hali ilivyokuwa awali katika vyombo vya habari.
Audio Credit
Flora Nducha/Getrude Mongela/Stella Vuzo
Audio Duration
3'31"