Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mazingira yamefanya familia yangu ipate lishe bora na kipato-Mfugaji wa Sungura Tanzania

Mazingira yamefanya familia yangu ipate lishe bora na kipato-Mfugaji wa Sungura Tanzania

Pakua

Bi Joyce Ballo wa Ifakara Morogoro Tanzania, anasema uamuzi wa wakulima wa mbogamboga na miti katika eneo lake wa kutumia njia mbadala za kutunza mazingira kwa kuamua kutotumia dawa na mbolea zenye sumu, kumempa fursa ya kupata kipato na lishe kwa familia yake. 

 

Kupitia katika mahojiano haya yaiyofanywa na John Kabambala wa redio washirika KidsTime FM ya Morogoro, mkulima huyo anaeleza uhusiano wa utunzaji mazingira na chanzo chake cha sasa cha kipato, yaani ufugaji wa sungura ambapo anaweza kuingiza takribani dola 15 kwa wiki kutokana na shughuli hiyo. 

Audio Credit
Anold Kayanda/John Kabambala
Audio Duration
3'36"
Photo Credit
UN/Andrew Kahwa