Ufisadi ni mbaya zaidi hususan wakati wa migogoro-Guterres 15 Oktoba 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Ufisadi ni uhalifu, ukiukaji wa maadili na usaliti wa hali ya juu kwa imani ya umma amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika taarifa yale iliyotolewa leo kuhusu ufisadi na janga la corona au COVID-19. Audio Credit Flora Nducha- Grace Kaneiya Audio Duration 2'29" Photo Credit UNDP Ukraine ufisadi António Guterres