Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ufisadi ni mbaya zaidi hususan wakati wa migogoro-Guterres

Ufisadi ni mbaya zaidi hususan wakati wa migogoro-Guterres

Pakua

Ufisadi ni uhalifu, ukiukaji wa maadili na usaliti wa hali ya juu kwa imani ya umma amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika taarifa yale iliyotolewa leo kuhusu ufisadi na janga la corona au COVID-19.

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'29"
Photo Credit
UNDP Ukraine