COVID-19 imelazimu kubadili mfumo wa kazi za uandishi wa Habari
Pakua
Janga la mlipuko wa virusi vya corona au COVID-19 limelazimisha tasnia ya Habari kufanyia mabadiliko utendaji wake ili kwenda sanjari na hali halisi hasa ukizingatia hivi sasa , shirika la afya duniani WHO linasisitiza hali ya kutochangamana ili kuepusha maambukizi zaidi. Je Afrika Mashariki vyombo na waandishi wa Habari wanaendeshaje kazi zao ili kuhakikisha jamii inaendelea kuhabarika wakati huu wa COVID-19? Hilo ndilo tunaloliangazia leo katika mada kwa kina. Ungana na Flora Nducha
Audio Credit
Loise Wairimu/Flora Nducha
Audio Duration
7'38"