Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wauguzi waleta nuru katika kinga dhidi ya magonjwa, Uganda

Wauguzi waleta nuru katika kinga dhidi ya magonjwa, Uganda

Pakua

Wakunga na wauguzi ni muhimu sana katika masuala ya uhamasishaji kuhusu masuala ya afya na hatimaye kuimarisha kinga badala ya kuponya.

Nchini Uganda has amafharibi mwa nchi, wauguzi na wakunga wanasifiwa kwa mchango wao katika uelimishaji wa jamii kuhusu afya ambao umesaidia kupunguza milipuko ya magonjwa hususani surua.

Ili kufahamu kwa undani, hii hapa majojiano kati ya John Kibego na Katibu wa masuala ya afya wa almashauri ya wilaya ya Hoima Jackson Mugenyi Mulindamburra amabye pia ni miongoni mwa waliochagiza uanzilishi wa chuo cha wauguzi na wakunga mjini Hoima.

(Makala ya John Kibego)

Audio Credit
Brenda Mbaitsa/ John Kibego
Audio Duration
3'35"
Photo Credit
UNFPA