UN yatoa wito kwa nchi ya Ecuador komesheni ubaguzi dhidi ya watu wenye asili ya Afrika
Pakua
Serikali ya Ecuador imetakiwa kuongeza juhudi zake ili kuhakikisha sheria inafuatwa na kutekeleza mipango ya kukomesha ubaguzi wa rangi unaowakabilia Raia weusi wa Ecuador na watu wenye asili ya Afrika.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'45"