Katibu Mkuu Guterres asema katu tusikubali ufisadi ukwamishe SDGs.
Pakua
Ikiwa leo ni siku ya kupinga rushwa na ufisadi duniani, Umoja wa Mataifa unataka hatua bunifu zaidi kushinda vita hivyo ambavyo vinapora rasilimali muhimu kwa ajili ya maendeleo ya wananchi. Brenda Mbaitsa na maelezo zaidi.
Sauti
2'21"