Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Katibu Mkuu Guterres asema katu tusikubali ufisadi ukwamishe SDGs.

Katibu Mkuu Guterres asema katu tusikubali ufisadi ukwamishe SDGs.

Pakua

Ikiwa leo ni siku ya kupinga rushwa na ufisadi duniani, Umoja wa Mataifa unataka hatua bunifu zaidi kushinda vita hivyo ambavyo vinapora rasilimali muhimu kwa ajili ya maendeleo  ya wananchi. Brenda Mbaitsa na maelezo zaidi.

Sauti
2'21"
Photo Credit
Bank ya Dunia/Philip Schuler