Neno la Wiki- Radhi
Pakua
Hii leo Ijumaa katika Neno la Wiki, Bi. Mwanahija Ali Juma ambaye ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno, 'Radhi'. Katika maelezo yake kuna maana zaidi ya moja, ikiwemo pale linapotumika kwenye sentensi mathalani, 'fulani kamwaga radhi!' Karibu.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
50"