Machafuko yaendelea kuwafungisha virago Wasyria na kuingia Iraq
Pakua
Wakimbizi kutoka Syria wameanza kuwasili katika kambi ya Bardarash iliyoko jimbo la Duhok kaskazini mwa Iraq kufuatia mashambulizi yanayoendelea kaskazini-mashariki mwa Iraq wakati huu ambapo mashirika ya Umoja wa Mataifa yameripoti vifo pande zote kutokana na mapigano hayo.
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Sauti
1'47"