FAO yasema mafua ya nguruwe aina ya Afrika yanasambaa kwa kasi Asia. 10 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la chakula na kilimo FAO leo limesema mafua yahoma ya nguruwe aina ya Afrika yanasambaa kwa kasi barani Asia na tayari yameshaathiri nchi kadhaa za bara hilo Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 1'41" Photo Credit ©FAO/Sue Price Homa ya nguruwe