Vijana wakifahamu SDGs, zitawasaidia wao wenyewe na watazisaidia familia na jamii zao-Dkt Francis Finias Majura
Pakua
Francis Finias Majura, daktari kijana anayejishughulisha na ufanikishaji wa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs nchini Tanzania anaeleza namna anavyowahamasisha vijana wenzake kuyaelewa malengo 17 ya maenfdeleo endelevu na namna yanavyoweza kuwakwamua vijana na familia zao.
Audio Credit
Arnold Kayanda/Stella Vuzo
Audio Duration
4'19"