Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hatua za jamii zaanza kuzaa matunda Malawi

Hatua za jamii zaanza kuzaa matunda Malawi

Pakua

Nchini Malawi, vituo vya kulea watoto vinavyosimamiwa na kuendeshwa na jamii, CBCC, vimekuwa chachu kubwa katika kuimarisha huduma za kujisafi na hivyo kudhibiti magonjwa kama vile kipindupindu. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'50"
Photo Credit
UNICEF Malawi Video screen shot