Ni muhimu wazazi wawafunze watoto lugha ya mama-mtangazaji wa lugha ya mama
Pakua
Katika kuadhimisha siku ya kimatifa ya lugha ya mama, Umoja wa Mataifai unasema asilimia 43 ya lugha 6000 ambazo zinazungumzwa leo duniani ziko hatarini kutoweka. Na kwamba ni ni mamia kadhaa tu ya lugha ambazo zimepewa nafasi katika mifumo ya elimu na kutumika kwa umma na ni chini ya lugha 100 ambazo zinatumika katika mtandao wa kidijitali.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Gakenia Gakeni
Audio Duration
1'57"