Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki: Aghalabu

Neno la Wiki: Aghalabu

Pakua

Katika kujifunza Kiswahili, Mchambuzi Onni Sigalla wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania “BAKITA” anachambua maana na matumizi ya neno “AGHALABU” ambapo anaeleza maana mbili za neno hilo. Tofauti na ile iliyozoeleka kwa matumizi ambapo neno aghalabu hutumiwa kueleza utokeaji wa mara kwa mara wa jambo, mtaalam huyo ameongeza maana nyingine isiyofahamika sana inayohusishwa na kundi la watu katika jamii au jumuiya.

Audio Credit
Siraj Kalyango/Onni Sigalla
Audio Duration
1'1"
Photo Credit
UN News Kiswahili