Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nuru yaonekana katika juhudi za kulinda maeneo oevu, Uganda

Nuru yaonekana katika juhudi za kulinda maeneo oevu, Uganda

Pakua

Ulinzi wa mazingira umekuwa ukipigiwa upatu na Umoja wa Mataifa kama moja wa juhudi za kuona dunia yetu haihatarishwi na majanga yatokanayo  na uharibifu wa mazingira. Mito ni moja wa sehemu ambazo zinasadia maisha ya viumbe wengi kama mwanadamu na mifugo kwa kupata maji ya kunywa pamoja na matumizi mengine mengi.

Lakini  baadhi ya mito imekuwa ikichafuliwa huenda  kwa kutojua.Moja wa mito hiyo ni ule wa Kanywakono wilya ya Hoima , magharibi mwa Uganda.Kwa kuelewa zaidi hali huko ungana na mwandishi wetu John Kibego alifika huko na kutuandalia Makala ifuatayo.

Audio Credit
Siraj Kalyango/John Kibego
Sauti
3'47"
Photo Credit
IOM/Amanda Nero