Neno La Wiki- Asilani
Pakua
Hii leo katika Neno la wiki, mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania-BAKITA na anafafanua matumizi ya neno Asilani.
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
55"