Ndoto zetu zinakatishwa na ukata UNRWA-wanafuzi Palestina
Pakua
Wanafunzi katika shule mbalimbali zinazoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya wakimbizi wa Kipalestina UNRWA wamesema ukata unaolikabili shirika hilo unawalazimu kukatiza ndoto zao.
Audio Credit
Siraj Kalyango/ Anold Kayanda
Audio Duration
1'50"