Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jinamizi la kutosajiliwa utotoni, laandama maelfu ya watu wasio na utaifa

Jinamizi la kutosajiliwa utotoni, laandama maelfu ya watu wasio na utaifa

Pakua

Ibara ya 15 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linasisitiza haki ya mtu kuwa na utaifa. Iwe ni utaifa kwa kuzaliwa au kwa kusajiliwa katika nchi nyingine. Hata hivyo kutokana na sababu mbalimbali zaidi ya watu milioni 12 hivi sasa duniani  hawana utaifa. Ukosefu wa utaifa  unapoka watoto na watu wazima haki zao za msingi. Je ni sababu gani basi zinafanya watu wakose utaifa, na ni madhila yapi basi wanapitia? Ungana basi na Grace Kaneiya katika makala hii.

Audio Credit
Anold Kayanda/Grace Kaneiya
Audio Duration
3'11"
Photo Credit
Oumar ambaye alikuwa hatarini kukosa utaifa, anaonyesha kitambulisho cha baba yake kutoka wakati wa ukoloni wa Ufaransa. Picha: UNHCR / Hélène Caux