Marekani inaendeshwa na wamarekani: Trump
Pakua
Marekani inaendeshwa na Wamarekani na ukiheshimu uhuru wetu hatutokuingilia wala kukwambia la kufanya. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa Marekani Donald Trump alipouhutibia mjadala wa wazi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
3'19"