Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Marekani inaendeshwa na wamarekani: Trump

Marekani inaendeshwa na wamarekani: Trump

Pakua

Marekani inaendeshwa na Wamarekani na ukiheshimu uhuru wetu hatutokuingilia wala kukwambia la kufanya. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa Marekani Donald Trump alipouhutibia mjadala wa wazi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
3'19"
Photo Credit
UN Photo/Cia Pak