Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kushika malengo yote 17 ni hatua ya kwanza na muhimu katika utekelezaji wake-Assad

Kushika malengo yote 17 ni hatua ya kwanza na muhimu katika utekelezaji wake-Assad

Pakua

Wakati miaka ikiendelea kusonga kuelekea ukomo wa utimizaji wa malengo 17 ya maendeleo endelevu yaani SDG’s hapo 2030, nchi zinakabiliwa na changamoto mbalimbali katika utekelezaji ambazo ni muhimu zikashughulikiwa mapema, ikiwemo nchini Tanzania.

Audio Credit
Siraj Kalyango/ Grace Kaneiya
Audio Duration
1'52"
Photo Credit
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Weruweru nchini Tanzaniwa wakiwa wamebeba mabango ya malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kutoka namba 1 hadi 5. (Picha: UNRCO/Mariam Simba)