Miaka 70 ya tume ya sheria ya UN ni ya mafanikio
Pakua
Tume ya sheria ya Umoja wa Mataifa mwaka huu inatimiza miaka 70, na imeelezwa kuwa imekuwa na mchango mkubwa katika masuala ya haki na sheria duniani.
Audio Credit
UN News , Siraj Kalyango
Sauti
1'37"