Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kazi ni kazi ilimradi inafanywa kwa ustadi

Kazi ni kazi ilimradi inafanywa kwa ustadi

Pakua

Katika ajenda ya maendeleo endelevu ya mwaka 2030 , lengo namba 5 la usawa kijinsia, suala ambalo linahimiza jamii kote duniani kuwajumuisha wanawake katika kazi yoyote bila kubagua jinsia, rangi, au rika ya mtu.

Mwandishi wetu anatuletea mfano mzuri nchini kenya  ambako wasichana wameanza kujikita katika kazi ambazo zimezoweleka kufanywa na wanaume. Msichana Tsarah Mumbi kwa sasa ni kivutio kikubwa kwa kila mtu kwa chaguo la kazi analofanya. Unagana na mwandishi wetu kwa undani wa makala hii.

 

Audio Credit
Patrick Newman
Audio Duration
3'44"
Photo Credit
Bendera ya Kenya: Picha: UM/Loey Felipe