MONUSCO yatoa usaidizi kwa wapiganaji waliojisalimisha DRC
Zoezi la usaidizi kwa wapiganaji wanaojisalimisha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC linaendelea ambapo wapiganaji hao wanajumuishwa katika jamii huku wengine wakijumuishwa katika jeshi la serikali kwa hiari.