Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

22 AGOSTI 2024

22 AGOSTI 2024

Pakua

Karibu kusikiliza jarida ambapo hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kuwakumbuka waathiriwa wa vitendo vya ghasia kwa misingi ya dini na imani, msomaji wako wa jarida ni ANOLD KAYANDA na jaridani anakuletea mada kwa kina ambayo inamulika wanawake wa kimasai na biashara ya bidhaa zitokanazo na shubiri nchini Kenya. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili hii leo mtaalamu wetu Dkt.Josephat Gitonga atafafanua maana ya methali “Chiriku hana hisani.”

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
11'28"