Kesho isiyo na saratani ya shingo ya kizazi kwa Wanawake Tanzania
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni kanda ya Afrika linaeleza kuwa Saratani ya shingo ya kizazi ni moja ya sababu kuu za vifo vinavyotokana na saratani kwa wanawake nchini Tanzania. Kawaida saratani ya shingo ya kizazi huathiri wanawake wenye zaidi ya umri wa miaka 25 ambao wameambukizwa virusi vya papilloma ya binadamu na hawajapata chanjo. Makala hii iliyoandaliwa na WHO na kusimuliwa na Anold Kayanda inaeleza jinsi uchunguzi wa afya wa mara kwa mara ni njia nzuri ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi..
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Anold Kayanda
Audio Duration
3'23"