Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jifunze Kiswahili: Kongamano za Idhaa za Kiswahili Duniani

Jifunze Kiswahili: Kongamano za Idhaa za Kiswahili Duniani

Pakua

Katika Jifunze Kiswahili Profesa Aldin Mutembei  Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kigoda cha Kiswahili cha Mwalimu Nyerere hivi karibuni nilipokutana naye visiwani Zanzibar Tanzania ambako kulifanyika Kongamano za Idhaa za Kiswahili Duniani, alinidokeza kuhusu jitihada wanazozifanya ili kuwashawishi viongozi wa Bara la Afrika hususani wa Afrika Mashariki kuanza kutumia lugha ya Kiswahili katika hotuba zao wanapokuwa katika majukwaa makubwa ya kimataifa mathalani Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. 

Audio Credit
Profesa Aldin Mutembei 
Sauti
57"
Photo Credit
Habari za UN