Msemo: Kauka nikuvae sanduku msumari
Pakua
Katika kujifunza Kiswahili, leo tunafafanuliwa maana ya msemo "KAUKA NIKUVAE SANDUKU MSUMARI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Karibu!
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
1'2"