Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

09 Agosti 2021

09 Agosti 2021

Pakua

Jaridani Agosti 9, 2021-

Ungana na Assumpta Massoi katika jarida likiangazia habari muhimu kwa siku na pia makala yetu ya wiki imejikita katika siku ya jamii ya watu wa asili ambayo imekwenda nchini Kenya. Pia kutoka mashinani ni uhifadhi wa mbegu za asili nchini Zimbabwe.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
9'28"