Methali: Ibilisi wa mtu ni mtu
Pakua
Hii leo katika kujifunza lugha ya kiswahili, Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya anafafanua maana ya methali, Ibilisi wa mtu ni mtu. Karibu!
Audio Credit
Flora Nducha/Josephat Gitonga