Nneno la Wiki- Aingiaye pasi hodi huondoka pasi kuaga
Pakua
Leo katika kujifunza Kiswahili, tunapata ufafanuzi wa methali, "Aingiaye pasi hodi huondoka pasi kuaga" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Audio Credit
Josephat Gitonga
Audio Duration
1'8"