Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tunawapa vijana nafasi ya kuelewa mfumo mzima wa kazoi kabla hawajaingia rasmi-YUNA Tanzania

Tunawapa vijana nafasi ya kuelewa mfumo mzima wa kazoi kabla hawajaingia rasmi-YUNA Tanzania

Pakua

Ulimwengu uko katika muongo wa kuelekea utimizaji wa malengo 17 ya maendeleo endelevu. Lengo namba 8 linaongelea kazi bora au zenye hadhi pampja na ukuaji wa uchumi. Lengo hilo ni vigumu kulifikia iwapo hakuna maandalizi ya kutosha kwa wale wanaoandaliwa kufanya kazi na hivyo hali hiyo itasababisha sehemu ya pili yaani ukuaji wa uchumi nayo kutokufikiwa. Kwa msingi huo, ndipo asasi ya Umoja wa Mataifa ya vijana, YUNA Tanzania imeamua kuendesha mradi wa kuwapa nafasi vijana waliohitimu masomo na hata walioko masomoni bado ili wapate mafunzo kwa vitendo. 

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
3'43"
Photo Credit
UN Photo/Manuel Elías