Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hatua zinahitaji kuwekwa kuhakikisha malengo ya kuzuia na kutibu TB yanafikiwa

Hatua zinahitaji kuwekwa kuhakikisha malengo ya kuzuia na kutibu TB yanafikiwa

Pakua

Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO imeonya kwamba endapo uwekezaji na hatua za haraka hazitochukuliwa malengo ya kuzuia na kutibu kifua kikuu au TB huenda yasitimie mwaka 2022.

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
2'43"
Photo Credit
UNDP South Sudan/Brian Sokol