Hatua zinahitaji kuwekwa kuhakikisha malengo ya kuzuia na kutibu TB yanafikiwa 14 Oktoba 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO imeonya kwamba endapo uwekezaji na hatua za haraka hazitochukuliwa malengo ya kuzuia na kutibu kifua kikuu au TB huenda yasitimie mwaka 2022. Audio Credit Flora Nducha- Jason Nyakundi Audio Duration 2'43" Photo Credit UNDP South Sudan/Brian Sokol