Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ari ya watoto wakimbizi kutaka kusoma inanipa motisha kufundisha

Ari ya watoto wakimbizi kutaka kusoma inanipa motisha kufundisha

Pakua

Kutana na mwalimu kutoka nchini Uturuki anayesema janga la corona au coronavirus">COVID-19 lilimvunja moyo na kumkatisha tamaa, lakini ari ya wanafunzi wake ambao asilimia kubwa ni wakimbizi kutoka kutoka Syria ilimpa nguvu ya kuendelea kufundisha.

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
1'56"
Photo Credit
UNICEF/Ayberk Yurtseve