Neno la Wiki - Hayati na Marehemu tofauti ni ipi?
Pakua
Hii leo katika Neno la Wiki, Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anatofautisha maana ya maneno 'Hayati' na 'Marehemu'. Katika uchambuzi wake wa maneno hayo yenye etimolojia ya kiarabu, anafafanua tofauti katika matumizi. Karibu!
Audio Credit
Assumpta Massoi/Onni Sigalla
Audio Duration
1'14"