Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maelfu ya watoto Venezuela waendelea kubeba gharama ya machafuko:UNICEF

Maelfu ya watoto Venezuela waendelea kubeba gharama ya machafuko:UNICEF

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema maelfu ya watoto bado wanaendelea kuwa waathirika wa hali mbaya nchini Venezuela na kulazimika na familia zao kufungasha virago na kuingia nchi jirani ya Brazil.

Audio Credit
UN News/Brenda Mbaitsa
Audio Duration
2'33"
Photo Credit
©UNHCR/Vincent Tremeau