Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Athari za tetemeko la miaka 10 iliyopita Haiti bado zinaendelea:IOM

Athari za tetemeko la miaka 10 iliyopita Haiti bado zinaendelea:IOM

Pakua

Shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM linasema miaka 10 baada ya tetemeko baya zaidi kuwahi kukikumba kisiwa cha Haiti idadi kubwa ya watu waliotawanywa wameweza kurejea nyumbani lakini bado jinamizi la tetemko hilo linawaandama.

Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
1'55"
Photo Credit
UN Photo/Sophia Paris