Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Inahitaji utashi wa serikali kutekeleza ibara za haki za binadamu

Inahitaji utashi wa serikali kutekeleza ibara za haki za binadamu

Pakua

Ibara ya 14 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa  inaeleza kuwa kila mtu ana haki ya kusaka na kuomba hifadhi katika nchi nyingine ikiwa anateswa nchini mwake.Katika mazungumzo na Arnold Kayanda, Mwanasheria, Wakili wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania, Jones Sendodo anasema inahitaji utashi wa serikali zilizoko madarakani kutekeleza ibara hizi kwani kuna hata nchi ambazo pamoja na kuridhia sheria na kanuni zinazowataka kutekeleza haki za binadamu, bado hazifanyi hivyo.

Audio Credit
Siraj Kalyango/Anold Kayanda
Sauti
3'2"
Photo Credit
UNIC Mexico/Antonio Nieto