Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Je wajua maana ya haki ya faragha kwa mujibu wa tamko la haki za binadamu?

Je wajua maana ya haki ya faragha kwa mujibu wa tamko la haki za binadamu?

Pakua

Mtu ana  haki ya kuwa na faragha katika maisha yake na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 12 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa. Neno faragha lina maana pana zaidi ambapo katika uchambuzi wa Ibara kwa Ibara za tamko hilo kwenye kuelekea kilele cha  miaka 70 ya tamko hilo, leo Siraj Kalyango amezungumza na mtaalamu wa sheria kutoka Tanzania ili uelewe zaidi.

Audio Credit
Anold Kayanda/Siraj Kalyango
Audio Duration
2'50"
Photo Credit
UN/Elma Okic Edit