Je wajua maana ya haki ya faragha kwa mujibu wa tamko la haki za binadamu?
Pakua
Mtu ana haki ya kuwa na faragha katika maisha yake na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 12 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa. Neno faragha lina maana pana zaidi ambapo katika uchambuzi wa Ibara kwa Ibara za tamko hilo kwenye kuelekea kilele cha miaka 70 ya tamko hilo, leo Siraj Kalyango amezungumza na mtaalamu wa sheria kutoka Tanzania ili uelewe zaidi.
Audio Credit
Anold Kayanda/Siraj Kalyango
Audio Duration
2'50"