Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakazi wa Goree waondolewa adha ya jenereta za umeme na benki ya dunia

Wakazi wa Goree waondolewa adha ya jenereta za umeme na benki ya dunia

Pakua

Mradi wa Benki ya Dunia wa kutandaza nyaya za umeme baharini, umeondoa adha ya kukatika umeme mara kwa mara iliyokuwa ikikumba wakazi wa kisiwa cha Gorée nchini Senegal

Audio Credit
Siraj.Kalyango
Audio Duration
1'58"
Photo Credit
Programu ya kufanikisha nguvu za umeme vijijini nchini Tanzania. Picha: World Bank